iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani
IQNA - Marufuku ya hivi karibuni ya matangazo ya kibiashara kwenye Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokelewa kwa wingi na wataalamu na wanaharakati wa mtandaoni.
Habari ID: 3480013    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06

IQNA – Matangazo ya biashara hayatatangazwa tena kwenye kituo cha Idhaa au Radio ya Qur'ani ya Misri kuanzia Januari 1, 2025.
Habari ID: 3479976    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30

Harakati ya Qur'ani
IQNA - Mkurugenzi wa zamani wa Redio ya Qur'ani ya Misri ameieleza idhaa hiyo kuwa maarufu zaidi katika ulimwengu wa Kiarabu.
Habari ID: 3479259    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Harakati za Qur'ani
IQNA - Idhaa ya Qur'an ndiyo redio maarufu zaidi nchini Misri, kulingana na mkuu wa redio hiyo.
Habari ID: 3478919    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02

Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe imefanyika katika Radio au Idhaa ya Qur'ani ya Misri huko Cairo kusherehekea kumbukumbu ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa kituo hicho cha redio
Habari ID: 3478725    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati, wanasiasa na wasikilizaji nchini Misri wametoa wito wa kupigwa marufuku matangazo ya biashara kwenye Idhaa au Redio ya Qur'ani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3476748    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/23

Wanawake katika Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Hajar Sa’eddin aliongoza Idhaa ya Qur’ani ya Misri kwa muda wa miezi 7. Alikuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo.
Habari ID: 3476569    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Maadhimisho ya miaka 40 ya kuasisiwa Idhaa ya Qur'ani ya Iran yamefanyika katika hafla iliyofanyika hapa Tehran siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3476548    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/11

Mkutano wa Idhaa za Qur'ani Duniani
TEHRAN (IQNA)-Mkurugenzi wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kiislamu ya Utangazaji (IBU) Mohamed Salem Walad Boake amesema idhaa za Qur'ani duniani zinaweza kuwa kati ya njia muafaka zaidi za kukabiliana na wimbi la misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3471377    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/01

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa Nne wa Idhaa za Qur'ani duniani umepangwa kufanyika mjini Cairo, Misri kuanzua Januari 28-30.
Habari ID: 3471368    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/23